Waamuzi VPL kulipwa madai yao kabla ya Oktoba
NA ZAINAB IDDY KUREJEA kwa Vodacom kama mdhamini mkuu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, hakujaleta neema kwa klabu pekee, bali hata kwa wamuuzi ambao wanatarajiwa kulipwa madeni yao ya msimu […]
NA ZAINAB IDDY KUREJEA kwa Vodacom kama mdhamini mkuu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, hakujaleta neema kwa klabu pekee, bali hata kwa wamuuzi ambao wanatarajiwa kulipwa madeni yao ya msimu […]
NA WINFRIDA MTOI KOCHA Mkuu wa KMC, Jackson Mayanja, amelia na wimbi la majeruhi katika kikosi chake, huku mtangulizi wake, Etienne Ndayiragije, akimpa mbinu za kukifanya kuwa tishio Ligi Kuu […]
NA TIMA SIKILO KOCHA Mkuu wa Azam FC, Etienne Ndayiragije, amesema akiwafunga Burundi katika mchezo wao wa Septemba 4, mwaka huu ugenini, kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Dunia 2012, […]
NA ZAINAB IDDY MSHAMBULIAJI wa Mtibwa Sugar aliyewahi kukipiga katika kikosi cha Zesco United ya Zambia, Juma Luizio, amesema Yanga hawana haja ya kuwa na wasiwasi kwani timu yake hiyo […]
NA WINFRIDA MTOI MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania, Simba, wanashuka dimbani leo JKT Tanzania kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, kuanza mbio za kutetea taji lao, huku Ibrahim Ajib […]
AYOUB HINJO AWALI ilifahamika nchi ya Cameroon wangeandaa fainali za Mataifa ya Afrika mwaka huu, lakini, walipokonywa nafasi hiyo kwa kushindwa kukamilisha baadhi ya taratibu ambazo zipo chini ya Shirikisho […]
JEREMIA ERNEST YUKO wapi msanii wa filamu za Kitanzania Nice Mohamed Yusuf maarufu kama Mtunisy? Hilo ni swali wanalojiuliza maelfu ya mashabiki wa sinema nchini baada ya kimya kirefu cha […]
CHRISTOPHER MSEKENA KARIBU msomaji wa Jiachie na Staa Wako inayokupa nafasi ya kuwauliza maswali watu mbalimbali maarufu katika sekta ya sanaa, leo hii tupo na Kalala Hamza maarufu kama Kalala […]
YOHANA CHAULA (TUDARCo) BAADA ya kuendeleza ubabe wake Ligi Kuu England kwa kuichapa Bournemouth mabao 3-1, klabu ya soka ya Manchester City, imeongeza muda wa ushirikiano wake na kampuni ya […]
MANCHESTER, England OLE Gunnar Solskjaer kama amechanganyikiwa hivi! Haeleweki nini anataka ndani ya kikosi chake cha Manchester United baada ya kushindwa kuwa na msimamo wa nani atakuwa mpiga penalti za […]