Wanachama Simba kuzuru Bunju leo
NA ZAINAB IDDY WANACHAMA wa Klabu ya Simba, leo wanatarajiwa kwenda kuona uwanja wao wa soka uliojengwa Bunju nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Uwanja huo umekamilika kwa […]
NA ZAINAB IDDY WANACHAMA wa Klabu ya Simba, leo wanatarajiwa kwenda kuona uwanja wao wa soka uliojengwa Bunju nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Uwanja huo umekamilika kwa […]
LONDON, England NI mipango yao kuelekea dirisha dogo la usajili la Januari, mwakani, kwamba wahakikishe wanamchukua beki wa kati wa Norwich City, Ben Godfrey. Tottenham wamekuwa wakivutiwa na kazi za […]
LONDON, England KLABU ya West Ham inaongoza katika mbio za kumsaka kiungo wa AC Milan na timu ya taifa ya Ivory Coast, Franck Kessie. Hata kama West Ham watamkosa, bado […]
LONDON, England TAARIFA zilizopo zimedai kuwa klabu za Liverpool na Arsenal zinamwania straika mwenye umri wa miaka 17 anayecheza Liefering ya Daraja la Pili nchini Austria. Nyota huyo raia wa […]
MANCHESTER, England KLABU ya Manchester City inaamini mshambuliaji wake raia wa England, Raheem Sterling, atasaini mkataba mpya, licha ya tetesi za kutaka kusepa. Tayari mabosi wa Man City wameshamtangazia ofa […]
LONDON, England WAKALI wa Magharibi mwa London, Chelsea, wamepanga kumchukua kinda Jadon Sancho kwa ada itakayovunja rekodi ya usajili klabuni hapo kinda Jadon Sancho, 19. Hata hivyo, hiyo itategemea na […]
MANCHESTER, England MKUU wa benchi la ufundi la timu ya taifa ya England, Gareth Southgate, anapewa nafasi ya kuinoa Manchester United. Hiyo ni endapo mabosi wa Mashetani Wekundu hao watafikia […]
NA RAMADHAN HASSAN,DODOMA TIMU ya Bunge imepanga kuondoka Jumapili kwenda jijini Kampala Uganda kushiriki michuano ya mabunge ya Afrika Mashariki. Akizungumza na BINGWA jana jijini hapa, Kocha wa timu ya […]
NA ZAINAB IDDY TIMU ya Mbeya City inapitia katika kipindi kigumu kutokana na kuanza vibaya msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Kutokana na matokeo yasiyoridhishwa kwa timu hiyo, aliyekuwa […]
NA ZAINAB IDDY KAIMU Kocha Mkuu wa timu ya Mbeya City, Mohamed Kijuso, amesema ataisuka upya safu ya ushambuliaji na ulinzi, dirisha dogo la usajili litakapofunguliwa Desemba 16, mwaka huu. […]