Nyota Yanga aionya Simba
@@ NA ZAINAB IDDY MCHEZAJI wa zamani wa timu ya Yanga, Ally Mayay, ameutaka uongozi wa klabu ya Simba kuwa makini katika kufanya maamuzi ya kumpata kocha atakayemrithi Patrick Aussems. […]
@@ NA ZAINAB IDDY MCHEZAJI wa zamani wa timu ya Yanga, Ally Mayay, ameutaka uongozi wa klabu ya Simba kuwa makini katika kufanya maamuzi ya kumpata kocha atakayemrithi Patrick Aussems. […]
NA CHRISTOPHER MSEKENA MWIMBAJI wa Injili nchini ambaye ni mshindi namba mbili wa shindano la Bongo Star Search (BSS 2018) Asagwile Mwasongwe, amewataka vijana wa Arusha kujitokeza kwa wingi katika […]
NA JEREMIA ERENEST WAKATI wanamitindo wengi wa kiume wakitengeneza matukio yatakayowapa umaarufu, mwanamitindo mchanga Cosmas Nyamhanga, amesema kazi zake zitamtambulisha hivyo haitaji kufanya kiki. Akizungumza na Papaso la Burudani jana, […]
NA ANNASTANZIA MAGUHA MREMBO anayekuja kwa kasi kwenye Bongo Fleva, Winfrida Masi ‘Wini’, amejipanga kufanya makubwa katika jukwaa la Fiesta Jumamosi hii jijini Mwanza ikiwa ni mara yake ya kwanza […]
MILAN, Italia KIGOGO wa siasa nchini Italia, Matteo Salvini, ameiponda AC Milan baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa mahasimu wao, Inter Milan, wikiendi iliyopita. Kigogo huyo shabiki […]
NA BRIGHITER MASAKI MWIGIZAJI na mbunifu wa mavazi Bongo, Jacqueline Wolper, amesema kama kigezo cha kuolewa kingekuwa sura, basi yeye angekuwa tayari ameolewa. Akizungumza na Papaso la Burudani jana, Wolper […]
NAIROBI, KENYA RAPA mkali kutoka nchini Kenya, Jackson Makini ‘Prezzo’, ametagazwa kujiunga na Chama cha Wiper Democratic Movement kujiweka tayari kuwania kiti cha ubunge katika jimbo la Kibra jijini Nairobi […]
NA JEREMIA ERNEST WATU mbalimbali maarufu wameonyesha kushutushwa na kusikitishwa na kifo cha aliyekuwa mchekeshaji majukwaani na mtandaoni Martha Michael ‘Boss Martha’, aliyefariki dunia jana alfajiri katika Hospitali ya Kisarawe […]
NA SISCA MACHABA (TUDARCo) MWANAMITINDO nyota nchini, Miriam Odemba, amesema kupitia taasisi yake ya Miriam Odemba Foundation, amepanga kutoa msaada wa elimu kwa wanafunzi wa kike katika Wilaya ya Kisarawe, […]
NA CHRISTOPHER MSEKENA BAADA ya Sallam Sharaff ‘Sallam Sk’ ambaye ni Meneja wa Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, kuweka wazi nia ya Harmonize kujitoa Wasafi Classic Baby (WCB), mashabiki wa lebo […]